RPC wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amefunguka na kusema yeye hawezi kuomba radhi kwa CCM mkoa wa Geita na kusema endapo itathibitika kweli amekidhalilisha chama hicho kama ambavyo wanadai baadhi ya viongozi mkoani humo yupo tayari kuacha kazi yake.
"Siwezi kuomba radhi tena hilo nimethibitishie kabisaa niombe radhi kwa lipi mbona nimewaambia, mimi nidhalilishe Chama Cha Mapinduzi kwa lipi? Wao walisimama kama watetezi wa chama au watu wa kubomoa chama?" alihoji Mponjoli
Mtazame hapa akifunguka zaidi
Comments
Post a Comment