Sheria ya ndoa mwaka 1971 Yatajwa kuwa moja ya changamoto zinazochangia kuongezeka kwa ukatiri wa kijinsia Tarime
- Get link
- X
- Other Apps
Imebainika kuwa sheria ya ndoa mwaka 1971 inakidhana na sheria ya mtoto sura ya 21 ya mwaka 2009 ambayo inatetea haki haki za mtoto nakukinzana na sheria ya mwaka 1971 ambayo naruhusu mtoto WA miaka15 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi suala ambapo linaendelea kupingwa na sheria za kimataifa
Sheria hiyo ambayo imedaiwa kuwa
Kuwa inaruhusu watoto chini ya umri wa miaka 18 kuolewa imekuwa ikichangia Kuongezeka kwa ukatiri wa watoto ambapo watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi kama vile kupata Elimu
Hayo yamebainishwa na ostack Mligo wakili kujitegemea kutoka shirika la KITUO cha msaada wa kisheria na haki za binadamu LSAC katika semina ya kuwajengea uwezo jeshi la polisi ikiwemo kitengo cha dawati la polisi Mkoa wa kipolisi Tarime Rorya iliyofanyika katika ukumbi wa MCN Tarime
"inaeleza kama wazazi watakubaliana mtoto Mwenye umri wa miaka 15 ataruhusiwa kuolewa na endapo kwa idhini ya mahakama mtoto Mwenye umri WA miaka 13 ataruhusiwa kuolewa pia,alisema ostack
Aidha meneja mradi ATFGM Masanga Valeliani Mgani ameongeza kuwa mwaka huu ni mwaka wa ukeketaji hivyo shirika hilo linalodhaminiwa na Terre des hommes Netherland limeweza semina kwa ngaliba polisi wa kawaida,dawati la polisi,watendaji wa vijiji na kata ili kuhakikisha wanapatiwa ushauri na msaada kisheria
"Sisi mawakili tunatoa ushauri wa kisheria kwa polisi kwa ajili ya kulinda mtoto na mhanga yoyote wa haki za binadamu kwani jeshi la polisi pekee ndilo lenye nafasi kubwa ya kushughulikia haki za watoto,Alisema Mligo
Pia mkuu wa kituo cha polisi Nyamwaga ameweza kuongeza kuwa Semina hiyo iliyotolewa na wataalamu hao itawasaidia katika utendaji kazi nakusema kuwa watatoa ushirikiano nakufanya kazi kwa ueledi ikiwemo kuzingatia sheria za nchi nakuwa hawatasita kutoa msaada pindi wanapohitajika katika ushauri na maelekezo jambo ambalo litasaidia kupunguza ukatiri WA kijinsia wilayani hapo.
"Mpaka sasa ninavyozungumza nimepigiwa simu kuwa kuna mtoto amepigwa na mzazi wake vibaya hivo sisi kama polisi matatizo kama hayo yapo na tunaendelea kufanya ufumbuzi kwa kukabiliana nayo ili watoto wapate haki zao za msingi, Alisema, Fransis
Aidha mawakili pamoja na watumishi wameiomba serikali kubadili au kufanya marekebisho ya sheria hiyo jambo ambalo litapelekea kuondokana na ukatiri unaotokana na kifungu hicho kuwabana wahusika wanaotetea haki za binadamu na kushindwa kutoa haki kwa watoto.
Sheria hiyo ambayo imedaiwa kuwa
Kuwa inaruhusu watoto chini ya umri wa miaka 18 kuolewa imekuwa ikichangia Kuongezeka kwa ukatiri wa watoto ambapo watoto hao wamekuwa wakikosa haki zao za msingi kama vile kupata Elimu
Hayo yamebainishwa na ostack Mligo wakili kujitegemea kutoka shirika la KITUO cha msaada wa kisheria na haki za binadamu LSAC katika semina ya kuwajengea uwezo jeshi la polisi ikiwemo kitengo cha dawati la polisi Mkoa wa kipolisi Tarime Rorya iliyofanyika katika ukumbi wa MCN Tarime
"inaeleza kama wazazi watakubaliana mtoto Mwenye umri wa miaka 15 ataruhusiwa kuolewa na endapo kwa idhini ya mahakama mtoto Mwenye umri WA miaka 13 ataruhusiwa kuolewa pia,alisema ostack
Aidha meneja mradi ATFGM Masanga Valeliani Mgani ameongeza kuwa mwaka huu ni mwaka wa ukeketaji hivyo shirika hilo linalodhaminiwa na Terre des hommes Netherland limeweza semina kwa ngaliba polisi wa kawaida,dawati la polisi,watendaji wa vijiji na kata ili kuhakikisha wanapatiwa ushauri na msaada kisheria
"Sisi mawakili tunatoa ushauri wa kisheria kwa polisi kwa ajili ya kulinda mtoto na mhanga yoyote wa haki za binadamu kwani jeshi la polisi pekee ndilo lenye nafasi kubwa ya kushughulikia haki za watoto,Alisema Mligo
Pia mkuu wa kituo cha polisi Nyamwaga ameweza kuongeza kuwa Semina hiyo iliyotolewa na wataalamu hao itawasaidia katika utendaji kazi nakusema kuwa watatoa ushirikiano nakufanya kazi kwa ueledi ikiwemo kuzingatia sheria za nchi nakuwa hawatasita kutoa msaada pindi wanapohitajika katika ushauri na maelekezo jambo ambalo litasaidia kupunguza ukatiri WA kijinsia wilayani hapo.
"Mpaka sasa ninavyozungumza nimepigiwa simu kuwa kuna mtoto amepigwa na mzazi wake vibaya hivo sisi kama polisi matatizo kama hayo yapo na tunaendelea kufanya ufumbuzi kwa kukabiliana nayo ili watoto wapate haki zao za msingi, Alisema, Fransis
Aidha mawakili pamoja na watumishi wameiomba serikali kubadili au kufanya marekebisho ya sheria hiyo jambo ambalo litapelekea kuondokana na ukatiri unaotokana na kifungu hicho kuwabana wahusika wanaotetea haki za binadamu na kushindwa kutoa haki kwa watoto.
Comments
Post a Comment