VIDEO: SUGU Aharibu Hali ya Hewa, Bunge Lamshangilia Alivyoingia



Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini CHADEMA, Joseph Mbilinyi aka SUGU leo ametinga bungeni kwa mara ya kwanza tangu aachiliwe huru kutoka gerezani alipokuwa akitumikia kifungo cha miezi sita. Sugu alishangiliwa na wabunge wengi alipokuwa akiingia bungeni asubuhi ya leo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KUSUBSCRIBE

Comments